Loading...

Uchaguzi Mdogo Jimbo Moja na Kata 79

Loading...
Uchaguzi Mdogo Jimbo Moja na Kata 79 - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Uchaguzi Mdogo Jimbo Moja na Kata 79, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Uchaguzi Mdogo Jimbo Moja na Kata 79
link : Uchaguzi Mdogo Jimbo Moja na Kata 79

soma pia


Uchaguzi Mdogo Jimbo Moja na Kata 79




Mwamba wa habari
TumeyaTaifayaUchaguzi  (NEC) itafanyauchaguzimdogokwenyeJimbo la Buyungu, MkoaniKigomanakwenye Kata 79 za Tanzania Bara, Mwenyekitiwa NEC, Jaji (R), SemistoclesKaijageamesema.
AkizungumzaJijiniDar es Salaam jana, JajiKaijageamesemauchaguzihuoutafanyikatarehe 12 mwenziujao (Agosti)nafomuzauteuziwawagombeazitatolewakuanziatarehe 8 hadi 14 mwenzihuu (Julai).
"UteuziwaWagombeautafanyikatarehe 14 Julai, mwakahuu. KampenizaUchaguzizitafanyikakatiyatarehe 15 Julai, haditarehe 11 Agosti, mwakahuunasikuyauchaguziitakuwanitarehe 12 Agostimwakahuu,” alisema.
JajiKaijageamebainishakwambaTumeimetangazauwepowanafasiwaziyaUbungekwenyeJimbohilo la BuyungubaadayakupokeataarifakutokakwaSpikawa Bunge la JamhuriyaMuungano, Ndugu Job Ndugai.
TumeilipokeabaruakutokakwaSpikawa Bunge la JamhuriyaMuunganowa Tanzania ambayekwakuzingatiakifungu cha 37(3) cha SheriayaTaifayaUchaguzi, Suraya 343, aliitarifuTumeuwepowanafasiwaziyaMbungewaJimbo la BuyungukatikaHalmashauriyaKakonkoMkoaniKigomakufuatiakufarikikwaaliyekuwaMbungewaJimbohiloMheshimiwaKasuku Samson Bilago,” alisema.
Kwa upandewanafasiwazizaUdiwani, MwenyekitihuyoalisemaTumeilipokeataarifakutokakwawazirimwenyedhamanaakiitaarifujuuyauwepowanafasihizonataratibuzauchaguzimdogozikaanzamaramoja.
“TumeimepokeaTaarifakutokakwa Waziri mwenyedhamananaSerikalizaMitaaambayekwakutumiamamlakaaliyopewachiniyaKifungu cha 13(1) cha SheriayaUchaguziyaSerikalizaMitaa, Suraya 292, aliitarifuTumeuwepowanafasiwazizaMadiwanikatika Kata 79 za Tanzania Bara,” alisema.
Akitoawitokwavyamavyasiasa, JajiKaijageamesema “tunapendakuvikumbushaVyamavyaSiasanawadauwotewauchaguzikuzingatiaSheria, Kanuni, MaadiliyaUchaguzi, Taratibu, Miongozonamaelekezoyotewakatiwakipindi cha Uchaguzimdogo”.
JajiKaijagealisemakwambauchaguzihuomdogoutafanyikandaniyaHalmashauri 43zilizopokwenyeMikoa 24ya Tanzania Bara.
Mikoahiyonipamojana, Kigoma, Arusha, Dar es Salaam, Dodoma, Iringa, Kagera, Katavi, Kilimanjaro, Lindi, Manyara, Mara, Mbeya, Mtwara, Morogoro, Mwanza, Njombe, Rukwa, Ruvuma, Shinyanga, Simiyu, Singida, Songwe, TaboranaTanga.
HalmashaurihizonipamojanaMoshi, Ruangwa, Mbulu, Hanang, Babati, Serengeti, Tarime, Kyela, Mtwara, Newala, Kilombero, Kilosa, Kwimba, Makete, Wanging’ombe, Kalambo, Songea, Msalala, Meatu, Singida, Songwe, Tunduma, Tabora, Nzega, UrambonaTanga.
HalmashaurinyinginenipamojanaKaratu, Longido, Arusha, Ngorongoro, Monduli, Meru, Ubungo, Kondoa, Mpwapwa, Chamwino, Iringa, Kyerwa, Misenyi, Muleba, Nsimbo, KasulunaSame.


Hivyo makala Uchaguzi Mdogo Jimbo Moja na Kata 79

yaani makala yote Uchaguzi Mdogo Jimbo Moja na Kata 79 Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Uchaguzi Mdogo Jimbo Moja na Kata 79 mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/07/uchaguzi-mdogo-jimbo-moja-na-kata-79.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Uchaguzi Mdogo Jimbo Moja na Kata 79"

Post a Comment

Loading...