Loading...

Arusha United Wanautalii kuivaa Rhino Rangers Septemba 29/2018

Loading...
Arusha United Wanautalii kuivaa Rhino Rangers Septemba 29/2018 - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Arusha United Wanautalii kuivaa Rhino Rangers Septemba 29/2018, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Arusha United Wanautalii kuivaa Rhino Rangers Septemba 29/2018
link : Arusha United Wanautalii kuivaa Rhino Rangers Septemba 29/2018

soma pia


Arusha United Wanautalii kuivaa Rhino Rangers Septemba 29/2018

Na. VERO IGNATUS, ARUSHA

Ni septemba 29/2018 ni siku ua  kuanza rasmi ligi daraja la kwanza msimu wa kwanza  wakazi wa jiji la Arusha na viunga vyake wametakiwa kujitokeza kwa wingi kuishangilia timu ya Mkoa huo ya Arusha United Wanautalii siku ya tarehe 29 wakati timu hiyo itakapomenyana na Rhino Rangers Fc ya Tabora.

Msemaji wa timu ya Arusha United wana utalii Jamillah Omar akizungumza na waandishi wa habari  katika uwanja wa Shekh Amri Abeid  amesema anatarajia wana Arusha watajitokeza kwa wingi siku hiyo ili kuishangilia timu hiyo ambayo kwa sasa inarudisha Mkoa huo  katika ramani ya soka nchini ambayo imepotea kwa muda mrefu.

Jamillah amesema kikosi cha timu ya Arusha United  wanautalii kimedhamiria  kuingia ligi kuu mwakani kutokana na kuwa na kikosi imara chini ya kocha mkuu Felix Minziro  ambae anahistoria safi katika soka nchini.

Kaimu Mkurugenzi mtendaji  wa timu ya Arusha United wana utalii Fikiri Elias amesema timu yake imejiandaa vyema kukabiliana na timu ya Rhino Rangers Fc kutoka Tabora na wauhakika na ushindi wa point tatu.

Kwa mara ya kwanza tangu ipate usajili timu ya Arusha United wana utalii itajitupa uwanjani rasmi kuanza kushiriki ligi daraja la kwanza mwaka huu ikiwa katika safari yake ya kuelekea ligi kuu mwakani.
 Kikosi cha timu ya Arusha United  wanautalii kama wanavyoonekana pichani. 
Msemaji wa timu ya Arusha United wana utalii Jamillah Omar


Hivyo makala Arusha United Wanautalii kuivaa Rhino Rangers Septemba 29/2018

yaani makala yote Arusha United Wanautalii kuivaa Rhino Rangers Septemba 29/2018 Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Arusha United Wanautalii kuivaa Rhino Rangers Septemba 29/2018 mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/09/arusha-united-wanautalii-kuivaa-rhino.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Arusha United Wanautalii kuivaa Rhino Rangers Septemba 29/2018"

Post a Comment

Loading...