Loading...

Italia yaiahidi Afrika Ushirikiano wa kiuchumi

Loading...
Italia yaiahidi Afrika Ushirikiano wa kiuchumi - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Italia yaiahidi Afrika Ushirikiano wa kiuchumi, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Italia yaiahidi Afrika Ushirikiano wa kiuchumi
link : Italia yaiahidi Afrika Ushirikiano wa kiuchumi

soma pia


Italia yaiahidi Afrika Ushirikiano wa kiuchumi


Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Italia na Afrika wameazimia kukuza na kuimarisha Ushirikiano katika nyanja mbalimbali, hususan biashara na uwekezaji kwa ajili ya maendeleo ya kweli barani Afrika.

Mawaziri hao walifikia azimio hilo wakati wa mkutano wa pili wa Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Italia na Afrika uliofanyika Farnesina, Italia tarehe 25 Oktoba 2018 na kuhudhuriwa na Mawaziri wa zaidi ya nchi 40 akiwemo Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirkiano wa Afrika Mashariki wa Tanzania, Mhe. Dkt. Augustine Mahiga (Mb). 

Mawaziri hao walikutana kwa madhumuni ya kujadili kwa pamoja changamoto zinazohusu usalama, uhuru, amani, demokrasia na namna wadau wa Italia (wenye viwanda, Wafanyabiashara, wanazuoni na taasisi zisizo za kiserikali) watakavyoweza kushiriki katika kukuza uchumi barani Afrika hasa katika sekta ya uwekezaji na biashara. 



Hivyo makala Italia yaiahidi Afrika Ushirikiano wa kiuchumi

yaani makala yote Italia yaiahidi Afrika Ushirikiano wa kiuchumi Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Italia yaiahidi Afrika Ushirikiano wa kiuchumi mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/10/italia-yaiahidi-afrika-ushirikiano-wa.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Italia yaiahidi Afrika Ushirikiano wa kiuchumi"

Post a Comment

Loading...