Loading...

KAMATI ZA BUNGE ZAENDELEA NA VIKAO VYAO JIJINI DODOMA

Loading...
KAMATI ZA BUNGE ZAENDELEA NA VIKAO VYAO JIJINI DODOMA - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa KAMATI ZA BUNGE ZAENDELEA NA VIKAO VYAO JIJINI DODOMA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : KAMATI ZA BUNGE ZAENDELEA NA VIKAO VYAO JIJINI DODOMA
link : KAMATI ZA BUNGE ZAENDELEA NA VIKAO VYAO JIJINI DODOMA

soma pia


KAMATI ZA BUNGE ZAENDELEA NA VIKAO VYAO JIJINI DODOMA

 Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu Selemani Moshi Kakoso akifafanua jambo mbele ya Kamati hiyo ilipokutana na Shirika la Reli nchini TRC hii leo Jijini Dodoma na kupokea Taarifa ya Utekelezaji wa Ujenzi wa Reli ya mpya ya Kiwango cha Kimataifa (SGR).
 Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu wakimsikiliza Mwenyekiti wa Kamati hiyo Selemani Moshi Kakoso ilyokutana na Shirika la Reli nchini TRC hii leo Jijini Dodoma na kupokea Taarifa ya Utekelezaji wa Ujenzi wa Reli ya mpya ya Kiwango cha Kimataifa (SGR).
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Injinia Isack Aloyce Kamwelwe akifafanua jambo mbele ya Kamati ya Bunge ya Miundombinu ilipokutana na Shirika la Reli nchini TRC hii leo Jijini Dodoma na kupokea Taarifa ya Utekelezaji wa Ujenzi wa Reli ya mpya ya Kiwango cha Kimataifa (SGR).
 Mwenyekiti wa Kamati ya ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama Mussa Azan Zungu akifuatilia uwasilishaji wa Taarifa ya Utekelezaji wa Bajeti ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018  iliyowasilishwa na Meja Jenerali A. Bahati mbele ya Kamati Bungeni Jijini Dodoma
 Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Hussein Alli Mwinyi na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Dkt Florens Turuka  wakiwa mbele ya kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama wakati wizara hiyo ilipoenda kuwasilisha Taarifa ya Utekelezaji wa Bajeti ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018  pamoja na Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019.
 Wajumbe wa Kamati ya ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama  na Watendaji wa Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa  wakifatilia uwasilishaji wa Taarifa ya Utekelezaji wa Bajeti ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018  iliyowasilishwa na Meja Jenerali A. Bahati mbele ya Kamati Bungeni Jijini Dodoma

PICHA NA OFISI YA BUNGE



Hivyo makala KAMATI ZA BUNGE ZAENDELEA NA VIKAO VYAO JIJINI DODOMA

yaani makala yote KAMATI ZA BUNGE ZAENDELEA NA VIKAO VYAO JIJINI DODOMA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala KAMATI ZA BUNGE ZAENDELEA NA VIKAO VYAO JIJINI DODOMA mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/10/kamati-za-bunge-zaendelea-na-vikao-vyao.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "KAMATI ZA BUNGE ZAENDELEA NA VIKAO VYAO JIJINI DODOMA"

Post a Comment

Loading...