Loading...

MATUKIO MBALIMBALI YA BUNGENI LEO JIJINI DODOMA

Loading...
MATUKIO MBALIMBALI YA BUNGENI LEO JIJINI DODOMA - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MATUKIO MBALIMBALI YA BUNGENI LEO JIJINI DODOMA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MATUKIO MBALIMBALI YA BUNGENI LEO JIJINI DODOMA
link : MATUKIO MBALIMBALI YA BUNGENI LEO JIJINI DODOMA

soma pia


MATUKIO MBALIMBALI YA BUNGENI LEO JIJINI DODOMA

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akijibu maswali, Bungeni jijini Dodoma, Novemba 15, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 Spika wa Bunge, Job Ndugai (kulia)  akimwapisha , Mbunge wa Simanjiro, James Millya, Bungeni jijini Dodoma, Novemba 15, 2018. 
 Spika wa Bunge, Job Ndugai (Kulia) akimwapisha Mbunge wa Babati Mjini, Pauline Gekul, Bungeni jijini Dodoma, Novemba 15, 2018. 
 Spika wa Bunge, Job Ndugai (kulia)  akimwapisha mbunge wa Serengeti, Marwa Ryoba Chacha, Bungeni jijini Dodoma, Novemba 15, 2018.
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimpongeza, Mbunge wa Ukerewe, Joseph Mkundi baada ya  Mbunge huyo kuapishwa, bungeni jijini Dodoma, Novemba 15, 2018.
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimpongeza Mbunge wa Babati Mjini, Pauline Gekul baada ya mbunge huyo kuapishwa, Bungeni jijini Dodoma, Novemba 15, 2018
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiteta na Mbunge wa Iramba Magaharibi, Mwigulu Nchemba kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Novemba 15, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)


Hivyo makala MATUKIO MBALIMBALI YA BUNGENI LEO JIJINI DODOMA

yaani makala yote MATUKIO MBALIMBALI YA BUNGENI LEO JIJINI DODOMA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MATUKIO MBALIMBALI YA BUNGENI LEO JIJINI DODOMA mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/11/matukio-mbalimbali-ya-bungeni-leo.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MATUKIO MBALIMBALI YA BUNGENI LEO JIJINI DODOMA"

Post a Comment

Loading...