Loading...

TAMASHA LA MAPINDUZI FESTIVAL LAZINDULIWA

Loading...
TAMASHA LA MAPINDUZI FESTIVAL LAZINDULIWA - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa TAMASHA LA MAPINDUZI FESTIVAL LAZINDULIWA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : TAMASHA LA MAPINDUZI FESTIVAL LAZINDULIWA
link : TAMASHA LA MAPINDUZI FESTIVAL LAZINDULIWA

soma pia


TAMASHA LA MAPINDUZI FESTIVAL LAZINDULIWA

NA IS-HAKA OMAR, ZANZIBAR.
MABINGWA wa burudani ya muziki wa kizazi kipya visiwani Zanzibar jana wameonyesha uwezo wao katika kuiwakilisha vyema sanaa ya muziki nchini. Wasanii hao wamezitumia vyema sauti, kumiliki jukwaa pamoja na kucheza na hisia kali za mashabiki waliobobea katika uwanja wa burudani ambapo yote hayo yalionekana kwa kila msanii aliyepanda kuimba katika Tamasha hilo la 'Safari ya muziki miaka 55 Mapinduzi' .

Akizindua Tamasha hilo Naibu Mstahiki Meya wa Manispaa ya Zanzibar  Bimkubwa Sukwa katika Uwanja wa Mpendae Shule ya Sekondari  Wilaya ya Mjini , aliitaka jamii kuunga mkono juhudi za wasanii wa kizazi kipya waliojitolea kwenda kwa wananchi kujitangaza na kuonyesha vipaji vyao.

Alisema umefika muda mwafaka wa Serikali na wadau mbali mbali wa maendeleo ndani na nje ya Zanzibar  kuwa mstari wa mbele kusaidia juhudi za wasanii kwani sanaa ya muziki ni sehemu pana ya vijana wengi kujiajiri wenyewe. Katika maelezo yake Naibu Mstahiki Meya, alieleza kuwa tamasha limebeba tunu ya nchi ambayo ni Mapinduzi ya miaka 55 jambo ambalo wasanii hao wameonyesha uzalendo wa kweli wa kuenzi falsafa ya Mapinduzi.


 Wasanii mbali mbali wa muziki wa kizazi kipya wakionyesha uwezo wao wa kuteka jukwaa huko katika Tamasha la Safari ya Muziki Mapinduzi Festival lililozinduliwa jana katika Jimbo la Mpendae Wilaya ya Mjini Zanzibar.

 NAIBU Mstahiki Meya wa Manispaa ya Mjini Bimkubwa Sukwa akikagua Timu ya Wasanii wa Muziki wa Kizazi kipya waliocheza na Timu ya Mpendae ikiwa ni sehemu ya wasanii kuwa karibu na jamii.

KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA


Hivyo makala TAMASHA LA MAPINDUZI FESTIVAL LAZINDULIWA

yaani makala yote TAMASHA LA MAPINDUZI FESTIVAL LAZINDULIWA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala TAMASHA LA MAPINDUZI FESTIVAL LAZINDULIWA mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/12/tamasha-la-mapinduzi-festival.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "TAMASHA LA MAPINDUZI FESTIVAL LAZINDULIWA"

Post a Comment

Loading...