Loading...
title : WAENDESHA BODABODA WILAYANI TARIME WAFUNDWA KUSHIRIKI JUHUDI ZA KUTOKOMEZA MIMBA ZA UTOTONI KWA WANAFUNZI WA KIKE.
link : WAENDESHA BODABODA WILAYANI TARIME WAFUNDWA KUSHIRIKI JUHUDI ZA KUTOKOMEZA MIMBA ZA UTOTONI KWA WANAFUNZI WA KIKE.
WAENDESHA BODABODA WILAYANI TARIME WAFUNDWA KUSHIRIKI JUHUDI ZA KUTOKOMEZA MIMBA ZA UTOTONI KWA WANAFUNZI WA KIKE.
Na Mwandishi Wetu- Tarime, Mara.
Serikali kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo ya watoto wa kike hapa nchini wameendesha mafunzo kwa waendesha bodaboda walioko wilaya ya Tarime mkoani Mara kuwahamasisha vijana hao kuunga mkono juhudi za kitaifa za kutokomeza mimba za utotoni kwa wasichana walioko shule ya msingi na sekondari.
Akieleza malengo ya mafunzo hayo, Afisa Mkuu wa Maendeleo ya Jamii Bibi Anna Shengweli amebainisha kuwa madreva wa bodaboda ni kundi mahususi katika ulinzi wa watoto wa kike kwani kutokana na shughuli zao wanakutana mara nyingi na watoto wa kike wakiwa katika mazingira hatarishi.
“Wakiwa katika kazi zao za kila siku bodaboda na wanapishana na watoto wa kike wakitekeleza majukumu yao mbalimbali ikiwemo kwenda na kurudi kutoka shule, kuteka maji visimani, kuchunga mifugo porini, sokoni, stendi ya basi na kadhalika’’ alisema Bibi Anna.
Mwezeshaji kutoka ‘Shirika la Save the Children’ Bw. John Komba akitoa mada kwa madereva bodaboda wa Wilaya ya Tarime katika Semina shirikishi ya jamii katika kuwalinda watoto wa kike dhidi ya mimba za utotoni kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Mtoto wa Kike itakayofanyika kitaifa Oktoba 11, 2017 Wilayani Tarime Mkoani Mara.
Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la REPSSI Tanzania Bibi. Edwick Mapalala akizungumza na waendesha bodaboda wa wilaya ya Tarime Mkoa wa Mara katika Semina ya kuelimisha jinsi ya kuwalinda watoto wa kike dhidi ya mimba za utotoni kuelekea maadhimkisho ya Siku ya Kimataifa ya Mtoto wa Kike itakayofanyika kitaifa Oktoba 11, 2017 Wilayani Tarime Mkoani Mara.
Baadhi ya waendesha bodaboda kutoka Wilaya ya Tarime Mkoa wa Mara wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zikitolea katika Semina ya kuwaelimisha jinsi ya kuwalinda watoto wa kike na mimba za utotoni kuelekea maadhimkisho ya Siku ya Kimataifa ya Mtoto wa Kike itakayofanyika kitaifa Oktoba 11, 2017 Wilayani Tarime Mkoani Mara.
HABARI ZAIDI BOFYA HAPA
HABARI ZAIDI BOFYA HAPA
Hivyo makala WAENDESHA BODABODA WILAYANI TARIME WAFUNDWA KUSHIRIKI JUHUDI ZA KUTOKOMEZA MIMBA ZA UTOTONI KWA WANAFUNZI WA KIKE.
yaani makala yote WAENDESHA BODABODA WILAYANI TARIME WAFUNDWA KUSHIRIKI JUHUDI ZA KUTOKOMEZA MIMBA ZA UTOTONI KWA WANAFUNZI WA KIKE. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala WAENDESHA BODABODA WILAYANI TARIME WAFUNDWA KUSHIRIKI JUHUDI ZA KUTOKOMEZA MIMBA ZA UTOTONI KWA WANAFUNZI WA KIKE. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/10/waendesha-bodaboda-wilayani-tarime.html
0 Response to "WAENDESHA BODABODA WILAYANI TARIME WAFUNDWA KUSHIRIKI JUHUDI ZA KUTOKOMEZA MIMBA ZA UTOTONI KWA WANAFUNZI WA KIKE."
Post a Comment