Loading...

SEMINA YA WABUNGE WA KAMATI TATU ZA BUNGE YAFANYIKA MJINI DODOMA

Loading...
SEMINA YA WABUNGE WA KAMATI TATU ZA BUNGE YAFANYIKA MJINI DODOMA - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa SEMINA YA WABUNGE WA KAMATI TATU ZA BUNGE YAFANYIKA MJINI DODOMA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : SEMINA YA WABUNGE WA KAMATI TATU ZA BUNGE YAFANYIKA MJINI DODOMA
link : SEMINA YA WABUNGE WA KAMATI TATU ZA BUNGE YAFANYIKA MJINI DODOMA

soma pia


SEMINA YA WABUNGE WA KAMATI TATU ZA BUNGE YAFANYIKA MJINI DODOMA

 Ndugu Serafine Tamba akitoa mada kuhusu Mchakato wa Utungaji Sheria katika Semina ya Wabunge wa Kamati ya Kamati ya Katiba na Sheria, Kamati ya Sheria Ndogo na Kamati Mambo Nje, Ulinzi na Usalama.
 Wajumbe wa Kamati tatu za Bunge wakifuatiliana mada kuhusu mchakato wa Utungaji Sheria kutoka kwa Ndugu Serafine Tamba  katika Semina ya Wabunge iliyofanyika Mjini Dodoma. Wajumbe wa Kamati zilizohudhuria Semina hiyo ni Kamati ya Katiba na Sheria, Kamati ya Sheria Ndogo na Kamati Mambo Nje, Ulinzi na Usalama.
 Baadhi ya Wajumbe wa Kamati za Bunge zilizoshiriki Semina kuhusu Mchakato wa Utungaji Sheria wakifuatilia mada katika Semina iliyofanyika Mjini Dodoma.
 Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Sheria Ndogo, Mheshimiwa Andrew Chenge akitoa mchango wake Katika Semina ya Wabunge iliyofanyika Mjini Dodoma. Wajumbe wa Kamati zilizohudhuria Semina hiyo ni Kamati ya Katiba na Sheria, Kamati ya Sheria Ndogo na Kamati Mambo Nje, Ulinzi na Usalama.
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama Balozi Adadi Rajabu akizungumza katika Semina ya Wabunge wa Kamati ya Katiba na Sheria, Kamati ya Sheria Ndogo na Kamati Mambo Nje, Ulinzi na Usalama iliyofanyika Mjini Dodoma.Kushoto kwake ni Mwenyekiti wa Kamati ya Katiba na Sheria Mohamed Mchengelwa 


Hivyo makala SEMINA YA WABUNGE WA KAMATI TATU ZA BUNGE YAFANYIKA MJINI DODOMA

yaani makala yote SEMINA YA WABUNGE WA KAMATI TATU ZA BUNGE YAFANYIKA MJINI DODOMA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala SEMINA YA WABUNGE WA KAMATI TATU ZA BUNGE YAFANYIKA MJINI DODOMA mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/11/semina-ya-wabunge-wa-kamati-tatu-za.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "SEMINA YA WABUNGE WA KAMATI TATU ZA BUNGE YAFANYIKA MJINI DODOMA"

Post a Comment

Loading...