Loading...

Rais Magufuli awaagiza viongozi wa mkoa wa Pwani na Dar es Salaam kutatua changamoto ya wafanyabiashara kando ya Morogoro road

Loading...
Rais Magufuli awaagiza viongozi wa mkoa wa Pwani na Dar es Salaam kutatua changamoto ya wafanyabiashara kando ya Morogoro road - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Rais Magufuli awaagiza viongozi wa mkoa wa Pwani na Dar es Salaam kutatua changamoto ya wafanyabiashara kando ya Morogoro road, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Rais Magufuli awaagiza viongozi wa mkoa wa Pwani na Dar es Salaam kutatua changamoto ya wafanyabiashara kando ya Morogoro road
link : Rais Magufuli awaagiza viongozi wa mkoa wa Pwani na Dar es Salaam kutatua changamoto ya wafanyabiashara kando ya Morogoro road

soma pia


Rais Magufuli awaagiza viongozi wa mkoa wa Pwani na Dar es Salaam kutatua changamoto ya wafanyabiashara kando ya Morogoro road



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na mamia ya wananchi wa Mbezi Mwisho waliosimama katikati barabara ya Morogoro kuhusu kero zao mbalimbali wakati akitokea Kibaha Kwa mfipa mkoani Pwani ambapo aliweka jiwe la Msingi ujenzi wa Chuo cha Uongozi cha Mwalimu Julius Nyerere. 
Wananchi mbalimbali wakikimbilia msafara wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli mara baada ya kusimama katika eneo la Mbezi Mwisho ambapo aliwahutubia wananchi hao.
Wanchi wa Mbezi Mwisho wakishangilia wakati msafara wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ulipokuwa ukipita katika eneo la Mbezi mwisho jijini Dar es Salaam. 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi wa Kibaha maili moja wakati akitokea Kibaha kwa mfipa mkoani Pwani ambapo aliweka jiwe la Msingi ujenzi wa Chuo cha Uongozi cha Mwalimu Julius Nyerere. PICHA NA IKULU 




Hivyo makala Rais Magufuli awaagiza viongozi wa mkoa wa Pwani na Dar es Salaam kutatua changamoto ya wafanyabiashara kando ya Morogoro road

yaani makala yote Rais Magufuli awaagiza viongozi wa mkoa wa Pwani na Dar es Salaam kutatua changamoto ya wafanyabiashara kando ya Morogoro road Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Rais Magufuli awaagiza viongozi wa mkoa wa Pwani na Dar es Salaam kutatua changamoto ya wafanyabiashara kando ya Morogoro road mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/07/rais-magufuli-awaagiza-viongozi-wa-mkoa.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Rais Magufuli awaagiza viongozi wa mkoa wa Pwani na Dar es Salaam kutatua changamoto ya wafanyabiashara kando ya Morogoro road"

Post a Comment

Loading...