Loading...

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi atembelea Maonyesho ya Nane Nane Morogoro

Loading...
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi atembelea Maonyesho ya Nane Nane Morogoro - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi atembelea Maonyesho ya Nane Nane Morogoro, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi atembelea Maonyesho ya Nane Nane Morogoro
link : Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi atembelea Maonyesho ya Nane Nane Morogoro

soma pia


Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi atembelea Maonyesho ya Nane Nane Morogoro

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alisema umefika sasa kwa kwa Wizara na Taasisi zinazohusika na Sekta ya Elimu Nchini kumuandaa Mwanafunzi katika masomo ya Kilimo kuanzia ngazi ya Msingi hadi Sekondari ili atakapofikia uwezo wa kuingia chuo Kikuu awe tayari ameshaelewa nini Kilimo.
Alisema uingizwaji wa  Mitaala ya Kilimo ndani ya masomo ya kawaida maskulini itamuwezesha Wanafunzi kujitayarisha mapema katika muelekeo wa kujijengea uwezo wa ajira ya uhakika ndani ya Sekta ya Kilimo wakati amalizapo masomo yake ili aweze kujitegemea kupitia Sekta hiyo muhimu kwa uchumi wa Taifa.
Balozi Seif Ali Iddi alitoa ushauri wakati akizungumza na vyombo mbali mbali vya Habari mara  baada ya kumaliza ziara yake ya kuangalia Maonyesho  mbali mbali ya Siku ya Nane Nane yanayofanyika katika Viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere Mkoani Morogoro.
 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akivishwa Skafu na Vijana Chipukizi wa Morogoro mara alipoingia kwenye Unjwa wa Maonyesho wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere Mkoani Morogoro.
 Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman Iddi akifurahia vifaa  zinazotengenezwa na mjasiriamali wa Mkoa wa Tanga
 Balozi Seif akinunua moja ya bidhaa zilizotengenezwa na Kikundi cha Wajasiri Amali kutoka Mkoani Tanga kwenye Maonyesho ya Nane Nane Morogoro.
 Moja ya Bwawa la kufugia Samaki la Chuo Kikuu cha sokoni Mkoani Morogoro ambalo Balozi Seif na Ujumbe wake walipata muda wa kulitembelea.
 Balozi Seif akiangalia ukulima wa mpunga uliooteshwa katika mfumo wa Taaluma ya kisasa kwenye Kitalu cha Kanisa la Anglican Dayosisi ya Morogoro kiliomo ndani ya Maonyesho ya Nane Nane.
Kwa habari zaidi BOFYA HAPA


Hivyo makala Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi atembelea Maonyesho ya Nane Nane Morogoro

yaani makala yote Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi atembelea Maonyesho ya Nane Nane Morogoro Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi atembelea Maonyesho ya Nane Nane Morogoro mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/08/makamu-wa-pili-wa-rais-wa-zanzibar_7.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi atembelea Maonyesho ya Nane Nane Morogoro"

Post a Comment

Loading...