Loading...

ABDULLAH AID YA MWAGA MSAADA YA MILIONI 50, KWA WANANCHI KIWALANI.

Loading...
ABDULLAH AID YA MWAGA MSAADA YA MILIONI 50, KWA WANANCHI KIWALANI. - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa ABDULLAH AID YA MWAGA MSAADA YA MILIONI 50, KWA WANANCHI KIWALANI., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : ABDULLAH AID YA MWAGA MSAADA YA MILIONI 50, KWA WANANCHI KIWALANI.
link : ABDULLAH AID YA MWAGA MSAADA YA MILIONI 50, KWA WANANCHI KIWALANI.

soma pia


ABDULLAH AID YA MWAGA MSAADA YA MILIONI 50, KWA WANANCHI KIWALANI.






Na John Luhende
Mwamba wa habari
Taasisi ya Abdalah Aid  ya jijini Dar es  salaam, imetoa msaada wa vitumbalimbali vyenyethamani ya shilingi million 50 kwa watu zaid ya 120, ikiwemo Baiskael za walemavu,gari  aina ya Suzuki Carry ,Mashineza kuchomea mahindi bisi,vyerehani   Mashine ya kumwagilia bustani  ( Water pum)  na Bajaji iliyo tolewa kwa mtu asiyejiweza.


Akizungumza kwa niaba ya Manispaa ya Ilala Nainbu Meya  wa manispaa hiyo Omary Kumbilamoto ameishukuru taasisi hiyo kwani imekuwa msaada mkubwa kwa wananchi wa Ilala kwani hata wakati wa maafa ya mafuriko  ilkuwa mstari wambele katika kutoa msaada.

‘’Nikupongeze sana Shekhe Arif na taasisi yako umekuwa msada sana kwa wananchi wa Ilala nakumbuka hata wakati wa mafuri ulito vyakula na magodoro  yaliasaidia sana watu wetu  naleo nimejifunza  kwako na sisi halmashauri n tuta fikiria kuwapa Bajiji  vijana katika mikopo tunayo wakopesha ili wakazalisha  endela na moyo huo Mungu atakulipa  kwa kuwajali wenye shida “alisema kumbilamoto.

Kwa upande wake mwenyekiti wa taasisi hiyo Arif Yusuf Abdullah,amesema msaada huo umetolewa kwa kushirikiana na Taasisi hiyo ya nchini Uingereza  na taasis ya AL-IMDAD ya  nchini  Uingereza na Africa kusini , na kwamba wataendelea kuwa saidia watanzania wenye hali duni ili nao waeze kujisaidia.
“Tumefikiria leo kutoa vitu  ambavyo vitaweza kuwasaidia katika maisha yao badala ya fedha  ambazo haziwezi kuwa saidia kwa chochote”

Hafla  ya kugawa misaada hiyo pia imehudhuriwa na Mbunge wa Ilala Mhe.Azan Zungu  ambapo kwa upande wake ameishukuru taasisi hiyo na kusema kwa Tanzania iko imara  kiuchumi na misaada kama hiyo inasaidia kuongeza uimarahuo kwa wananchi wake,

Nao baadhi ya wananchi walipata msaada huo  wameshukuru kupewa msaada wa vitu hivyo na kwamba vitawasidia kujikimu kimasha na watawaombea kwa Mwenyezi Mungu awazidishie  wale wote waliojitoa katika kufanikisha kupatikana kwa vitu hivyo.














Hivyo makala ABDULLAH AID YA MWAGA MSAADA YA MILIONI 50, KWA WANANCHI KIWALANI.

yaani makala yote ABDULLAH AID YA MWAGA MSAADA YA MILIONI 50, KWA WANANCHI KIWALANI. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala ABDULLAH AID YA MWAGA MSAADA YA MILIONI 50, KWA WANANCHI KIWALANI. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/12/abdullah-aid-ya-mwaga-msaada-ya-milioni.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "ABDULLAH AID YA MWAGA MSAADA YA MILIONI 50, KWA WANANCHI KIWALANI."

Post a Comment

Loading...