Loading...

DC KARATU ATOA ONYO KWA WATAKAOKWAMISHA UPIMAJI ARDHI YA VIJIJI

Loading...
DC KARATU ATOA ONYO KWA WATAKAOKWAMISHA UPIMAJI ARDHI YA VIJIJI - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa DC KARATU ATOA ONYO KWA WATAKAOKWAMISHA UPIMAJI ARDHI YA VIJIJI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : DC KARATU ATOA ONYO KWA WATAKAOKWAMISHA UPIMAJI ARDHI YA VIJIJI
link : DC KARATU ATOA ONYO KWA WATAKAOKWAMISHA UPIMAJI ARDHI YA VIJIJI

soma pia


DC KARATU ATOA ONYO KWA WATAKAOKWAMISHA UPIMAJI ARDHI YA VIJIJI

Mkuu wa wilaya ya Karatu,Theresia Mahongo amewaonya wananchi  wanaowashawishi wenzao kukataa ardhi ya vijiji vyao isipimwe na kupangiwa matumizi bora ya ardhi kuwa serikali haitasita kuwachukulia hatua kali za kisheria .

Akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi Hati ya Kimila ya maeneo ya malisho kwa uongozi wa Kijiji cha Endesh Kata ya Baray jana amesema utaratibu wa kupima na kupanga matumizi bora ya ardhi una baraka za serikali na unalenga kupunguza migogoro ya ardhi kati ya wafugaji,wakulima na wawekezaji.

‘Serikali haitawaonea huruma wanaokwamisha juhudi za serikali kuhakikisha tunakua na vijiji vyenye ramani zinazotambulika kisheria na ambazo wananchi wamekubaliana namna ya matumizi ya ardhi katika shughuli za maendeleo,”amesema Mahongo

 Amewataka wananchi kutoa ushirikiano kwa wataalam wa ardhi wanaofika katika maeneo yao kwaajili ya kupima na kupanga matumizi bora ya ardhi kwamba ni jambo zuri ambalo lina faida kubwa katika kujipangia mipango ya maendeleo.
 Wafugaji wa jamii ya Wabarbaig katika Kijiji cha Endesh Kata ya Baray wilaya ya Karatu mkoa wa Arusha wakiimba nyimbo za asili wakati wa hafla ya kukabidhiwa hati ya kimila yenye mpango wa matumizi bora ya ardhi na nyanda za malisho  iliyoandaliwa na Ujamaa Community Resouce Team(UCRT).
 Mkuu wa wilaya ya Karatu mkoa wa Arusha,Theresia Mahongo(kulia) akiwa ameungana na Wanawake wa  jamii ya kifugaji ya Wabarbaig katika Kijiji cha Endesh Kata ya Baray  wakiimba nyimbo za asili.
 Mkuu wa wilaya ya Karatu mkoa wa Arusha,Theresia Mahongo(kulia) akimkabidhi Hati ya Kimila Mwenyekiti wa Kijiji cha Endesh Kata ya Baray ,Geway Nanagi kutoka  jamii  ya kifugaji ya Wabarbaig  wakati wa hafla ya kukabidhiwa hati ya mpango wa matumizi bora ya ardhi na nyanda za malisho  iliyoandaliwa na Ujamaa Community Resouce Team(UCRT).
Mzee wa jamii  ya kifugaji ya Wabarbaig katika Kijiji cha Endesh Kata ya Baray wilaya ya Karatu,mkoa wa Arusha,Gidaulanda Marakwa akifurahia Hati ya Kimila iliyoandaliwa na taasisi ya Ujamaa Community Resources Team.Picha na Filbert Rweyemamu.

KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA


Hivyo makala DC KARATU ATOA ONYO KWA WATAKAOKWAMISHA UPIMAJI ARDHI YA VIJIJI

yaani makala yote DC KARATU ATOA ONYO KWA WATAKAOKWAMISHA UPIMAJI ARDHI YA VIJIJI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala DC KARATU ATOA ONYO KWA WATAKAOKWAMISHA UPIMAJI ARDHI YA VIJIJI mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/12/dc-karatu-atoa-onyo-kwa-watakaokwamisha.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "DC KARATU ATOA ONYO KWA WATAKAOKWAMISHA UPIMAJI ARDHI YA VIJIJI"

Post a Comment

Loading...